Ayubu 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+Mimi nitangojea siku zote za kazi yangu ya kulazimishwa,+Mpaka kitulizo changu kije.+ Isaya 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+
14 Mtu akifa, je, anaweza kuishi tena?+Mimi nitangojea siku zote za kazi yangu ya kulazimishwa,+Mpaka kitulizo changu kije.+
19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+