Waamuzi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikilizeni, enyi wafalme;+ tegeni sikio, enyi maofisa wakuu:Ndiyo, nitamwimbia Yehova.Nitampigia muziki+ Yehova, Mungu wa Israeli.+ 1 Mambo ya Nyakati 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwimbieni,+ mpigieni muziki,+Jishughulisheni na matendo yake yote ya ajabu.+ Zaburi 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mpigieni Mungu muziki, pigeni muziki.+Mpigieni Mfalme wetu muziki, pigeni muziki. Waefeso 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,
3 Sikilizeni, enyi wafalme;+ tegeni sikio, enyi maofisa wakuu:Ndiyo, nitamwimbia Yehova.Nitampigia muziki+ Yehova, Mungu wa Israeli.+
19 mkijisemesha kwa zaburi+ na sifa+ kwa Mungu na nyimbo za kiroho, mkiimba+ na kupiga muziki+ katika mioyo yenu kwa Yehova,