Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. Zaburi 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wewe unatutoa kama kondoo, kama chakula,+Nawe umetutawanya kati ya mataifa.+ Ezekieli 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Pia, mimi mwenyewe niliwainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ ili kuwatawanya kati ya mataifa na kuwatawanya kati ya nchi mbalimbali,+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
23 Pia, mimi mwenyewe niliwainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ ili kuwatawanya kati ya mataifa na kuwatawanya kati ya nchi mbalimbali,+