Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Lakini ikiwa mtaendelea kutembea kwa kunipinga nanyi msitake kunisikiliza mimi, ndipo nitakapoleta juu yenu mapigo mara saba zaidi kulingana na dhambi zenu.+

  • Waamuzi 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wana wa Israeli wakamwambia Yehova: “Tumetenda dhambi.+ Wewe mwenyewe ututendee kulingana na lolote lililo jema machoni pako.+ Lakini tafadhali, utukomboe tu leo hii.”+

  • Luka 15:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Aliporudiwa na fahamu zake, akasema, ‘Ni watu wangapi aliowakodi baba yangu ambao wana mkate kwa wingi, na huku mimi ninaangamia hapa kwa njaa kali!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki