1 Wafalme 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini ikawa kwamba baada ya siku kadhaa, lile bonde la mto likakauka,+ kwa sababu mvua haikuwa imenyesha juu ya dunia. Isaya 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na maji hakika yatakauka kutoka baharini, na mto utakuwa mkavu na kwa kweli utakauka.+ Isaya 42:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitaharibu+ milima na vilima, nami nitakausha majani yake yote. Nami nitaibadili mito iwe visiwa, nitayakausha madimbwi yenye matete mengi.+
7 Lakini ikawa kwamba baada ya siku kadhaa, lile bonde la mto likakauka,+ kwa sababu mvua haikuwa imenyesha juu ya dunia.
15 Nitaharibu+ milima na vilima, nami nitakausha majani yake yote. Nami nitaibadili mito iwe visiwa, nitayakausha madimbwi yenye matete mengi.+