12 Nami nitaifanya mifereji ya Nile+ iwe nchi kavu na kuiuza nchi mkononi mwa watu wabaya,+ nami nitaifanya nchi na vyote vinavyoijaza ifanywe ukiwa kwa mkono wa wageni.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’+
11 Naye atapita baharini kwa taabu;+ na ndani ya bahari atayapiga mawimbi,+ na vilindi vyote vya Nile vitakauka.+ Nacho kiburi cha Ashuru kitashushwa,+ na fimbo ya enzi+ ya Misri itaondoka.+