Ayubu 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Waadilifu wataona na kushangilia,+Na asiye na hatia atawadhihaki: Zaburi 52:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao waadilifu wataona hilo na kuogopa,+Nao watamcheka.+ Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+