Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+ Isaya 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na kutegemeka kwa nyakati zako kutakuwa mali ya wokovu+—hekima na ujuzi,+ kumwogopa Yehova,+ ambazo ni hazina yake. Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
6 Na kutegemeka kwa nyakati zako kutakuwa mali ya wokovu+—hekima na ujuzi,+ kumwogopa Yehova,+ ambazo ni hazina yake.
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza ufalme na uadilifu wake,+ nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+