32 Na itakuwa kwamba kila mtu anayeliitia jina la Yehova ataokoka;+ kwa maana katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu kutakuwako wale walioponyoka,+ kama vile ambavyo Yehova amesema, na kati ya waokokaji, ambao Yehova anaita.”+
42 Tena, kwa mara ya pili,+ akaenda zake na kusali, akisema: “Baba yangu, ikiwa haiwezekani kipitilie mbali ila nikinywe, acha mapenzi yako yatendeke.”+