Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 66:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+

      Umetusafisha kama kusafisha fedha.+

  • Zaburi 94:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye unamrekebisha,+ Ee Yah,

      Na ambaye unamfundisha katika sheria yako mwenyewe,+

  • Isaya 53:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+

  • 2 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kama wasiojulikana na bado ni wenye kutambuliwa,+ kama wanaokufa na bado, tazama! tunaishi,+ kama wanaotiwa nidhamu+ na bado hatukabidhiwi kwenye kifo,+

  • Waebrania 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa maana yeye ambaye Yehova anampenda, humtia nidhamu; kwa kweli, humpiga fimbo kila mtu ambaye yeye humpokea kuwa mwana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki