Isaya 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Fungueni malango,+ ili taifa la uadilifu linaloshika mwenendo wa uaminifu liingie.+ Mathayo 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+ Ufunuo 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na kwamba waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+
14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+
14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na kwamba waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+