Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 118:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nifungulieni malango ya uadilifu.+

      Mimi nitayaingia; nitamsifu Yah.+

  • Zaburi 118:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hili ndilo lango la Yehova.+

      Waadilifu wataliingia.+

  • Isaya 60:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na malango yako kwa kweli yataachwa wazi sikuzote;+ hayatafungwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku, ili kukuletea mali za mataifa,+ na wafalme wao watakuwa wenye kuongoza.+

  • Isaya 62:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+

  • Mathayo 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+

  • Ufunuo 22:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na kwamba waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki