11 “Na malango yako kwa kweli yataachwa wazi sikuzote;+ hayatafungwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku, ili kukuletea mali za mataifa,+ na wafalme wao watakuwa wenye kuongoza.+
10 Tokeni nje, tokeni nje kupitia malango. Fungueni njia ya watu.+ Fanyeni matuta, fanyeni matuta kwa ajili ya njia kuu. Ondoeni mawe juu yake.+ Inueni ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+
14 Wenye furaha ni wale wanaofua kanzu zao,+ ili wawe na mamlaka ya kwenda kwenye miti ya uzima+ na kwamba waweze kuingia katika jiji kupitia malango yake.+