Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”

  • Kumbukumbu la Torati 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+

  • Malaki 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Nao watakuwa wangu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “siku ile nitakapotokeza mali ya pekee.+ Nami nitawaonyesha huruma, kama vile mwanamume anavyomwonyesha huruma mwana wake ambaye anamtumikia.+

  • Matendo 2:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 wakimsifu Mungu na kupata kibali kwa watu wote.+ Wakati uleule Yehova akaendelea kuongezea+ kwao kila siku wale waliokuwa wakiokolewa.+

  • 1 Petro 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki