Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Katika siku ya nane akawaacha watu waende zao;+ nao wakaanza kumbariki mfalme na kwenda kwenye nyumba zao, wakishangilia+ na kufurahi moyoni+ mwao kutokana na wema+ wote ambao Yehova alikuwa ametenda kwa ajili ya Daudi mtumishi wake na kwa ajili ya Israeli watu wake.

  • Esta 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa Wayahudi kukawa nuru na kushangilia+ na furaha na heshima.

  • Yohana 16:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo, ninyi pia, sasa, kwa kweli, mna huzuni; lakini nitawaona ninyi tena na mioyo yenu itashangilia,+ na hakuna mtu atakayeichukua shangwe yenu kutoka kwenu.

  • Matendo 5:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Kwa hiyo, wakatoka mbele ya Sanhedrini, wakishangilia+ kwa sababu walikuwa wamehesabiwa kuwa wenye kustahili kuvunjiwa heshima kwa ajili ya jina lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki