Ayubu 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siondoki katika amri ya midomo yake.+Nimeyachukua kuwa hazina maneno ya kinywa chake+ kuliko yale niliyoamriwa. Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+
12 Siondoki katika amri ya midomo yake.+Nimeyachukua kuwa hazina maneno ya kinywa chake+ kuliko yale niliyoamriwa.
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+