Zaburi 119:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Moyoni mwangu nimeweka hazina ya maneno yako,+Ili nisikutendee dhambi.+ Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+ Yeremia 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+
16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+