51 Naye akashuka kwenda pamoja nao mpaka Nazareti, naye akaendelea kujitiisha+ kwao. Pia, mama yake akaweka kwa uangalifu maneno yote hayo moyoni mwake.+
17 Lakini ni shukrani kwa Mungu kwamba mlikuwa watumwa wa dhambi lakini kutoka moyoni mkawa wenye kutii namna ile ya fundisho ambayo mliwekwa chini yake.+