Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 112 Msifuni Yah!+

      א [ʼAʹleph]  

      Mwenye furaha ni mtu anayemwogopa Yehova,+

      ב [Behth]

      Ambaye amependezwa+ sana na amri zake.+

  • Zaburi 119:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  67 Kabla ya kuteseka nilikuwa nikifanya dhambi bila kukusudia,+

      Bali sasa nimelishika neno lako.+

  • Luka 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 lakini Maria akaanza kuyahifadhi maneno hayo yote, akikata kauli moyoni mwake.+

  • Luka 2:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Naye akashuka kwenda pamoja nao mpaka Nazareti, naye akaendelea kujitiisha+ kwao. Pia, mama yake akaweka kwa uangalifu maneno yote hayo moyoni mwake.+

  • Waroma 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini ni shukrani kwa Mungu kwamba mlikuwa watumwa wa dhambi lakini kutoka moyoni mkawa wenye kutii namna ile ya fundisho ambayo mliwekwa chini yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki