Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa ikiwa mnaona ni vibaya machoni penu kumtumikia Yehova, jichagulieni leo yule mtakayemtumikia,+ kama ni miungu ambayo waliitumikia+ mababu zenu waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Mto au kama ni miungu ya Waamori ambao mnakaa katika nchi yao.+ Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Yehova.”+

  • Methali 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Midomo ya uwongo ni chukizo kwa Yehova,+ lakini wanaotenda kwa uaminifu ni furaha kwake.+

  • Methali 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu mwenye matendo ya uaminifu atapata baraka nyingi,+ lakini yeye anayefanya haraka kupata utajiri hatabaki pasipo hatia.+

  • 1 Wakorintho 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mbali na hilo, katika hali hii, kinachoangaliwa katika wasimamizi-nyumba+ ni mtu kupatwa akiwa mwaminifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki