Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 119:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nami nitatembea huku na huku katika mahali penye nafasi tele,+Kwa maana nimeyatafuta maagizo yako.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+
45 Nami nitatembea huku na huku katika mahali penye nafasi tele,+Kwa maana nimeyatafuta maagizo yako.+