1 Samweli 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi akawaambia watu wake: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa maoni ya Yehova, kwamba nimfanyie bwana wangu jambo hili, mtiwa-mafuta+ wa Yehova, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+ Zaburi 119:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Yote hayo yamekuwa yangu,Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+ Zaburi 119:110 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Waovu wamenitegea mtego,+Lakini sijaondoka katika maagizo yako.+
6 Basi akawaambia watu wake: “Ni jambo lisilowaziwa kwangu, kwa maoni ya Yehova, kwamba nimfanyie bwana wangu jambo hili, mtiwa-mafuta+ wa Yehova, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, kwa kuwa yeye ni mtiwa-mafuta wa Yehova.”+