Zaburi 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, kwa nini adui zangu wamekuwa wengi?+Kwa nini wengi wanainuka dhidi yangu?+ Zaburi 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Uone jinsi adui zangu wamekuwa wengi,+Nao wamenichukia kwa chuki yenye jeuri.+ Zaburi 56:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Adui zangu wameendelea kutanua kinywa mchana kutwa,+Kwa maana kuna wengi wanaofanya vita juu yangu kwa kujitakia makuu.+ Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
2 Adui zangu wameendelea kutanua kinywa mchana kutwa,+Kwa maana kuna wengi wanaofanya vita juu yangu kwa kujitakia makuu.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+