Maombolezo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda ameenda uhamishoni kwa sababu ya mateso+ na kwa sababu ya utumishi mwingi.+Imekuwa lazima akae katikati ya mataifa.+ Hakupata mahali pa kupumzikia.Wote waliokuwa wakimtesa wamemfikia kati ya hali zenye kutaabisha.+ Ezekieli 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao. Hosea 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Israeli alipokuwa mvulana, ndipo nikampenda,+ na kutoka Misri nilimwita mwanangu.+
3 Yuda ameenda uhamishoni kwa sababu ya mateso+ na kwa sababu ya utumishi mwingi.+Imekuwa lazima akae katikati ya mataifa.+ Hakupata mahali pa kupumzikia.Wote waliokuwa wakimtesa wamemfikia kati ya hali zenye kutaabisha.+
3 Nao wakaanza kufanya ukahaba katika Misri.+ Wakati wa ujana wao walifanya ukahaba.+ Huko maziwa yao yalifinywa-finywa,+ na huko walivibana vifua vya ubikira wao.