Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+
10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+