9 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapokwenda,+ nami nitawakatilia mbali adui zako wote kutoka mbele yako;+ nami hakika nitakufanyia jina kuu,+ kama jina la wakuu walio duniani.
8Basi kuhusu mambo yanayozungumzwa jambo kuu ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu+ wa namna hii, naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+