Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Zaburi 95:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Twendeni mbele za uso wake tukiwa na shukrani;+Na tumpigie kelele za ushindi kwa nyimbo tamu.+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+