Methali 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jipatie hekima,+ jipatie uelewaji.+ Usisahau, wala usiache maneno ya kinywa changu.+ Methali 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtu anayejitenga na wengine atatafuta mapendezi yake mwenyewe;+ atashindana na hekima yote inayotumika.+ Luka 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+
18 Mtu anayejitenga na wengine atatafuta mapendezi yake mwenyewe;+ atashindana na hekima yote inayotumika.+
18 Kwa hiyo kazieni uangalifu jinsi mnavyosikiliza; kwa maana yeyote aliye na kitu, ataongezewa,+ lakini yeyote ambaye hana kitu, hata kile anachowazia kwamba anacho kitachukuliwa.”+