2 Mambo ya Nyakati 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia za Daudi babu yake;+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+ Zaburi 44:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yote hayo ndiyo yametujia, nasi hatujakusahau,+Wala hatujatenda kwa njia ya uwongo katika agano lako.+ Methali 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,+ na moyo wako upate kushika amri zangu,+
2 Naye akafanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova+ na kutembea katika njia za Daudi babu yake;+ naye hakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto.+
17 Yote hayo ndiyo yametujia, nasi hatujakusahau,+Wala hatujatenda kwa njia ya uwongo katika agano lako.+