Zaburi 119:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Mimi ni mwenzao watu wote wanaokuogopa wewe,+Na wale wanaoyashika maagizo yako.+ 1 Wakorintho 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Iweni waigaji wangu, kama vile mimi nilivyo mwigaji wa Kristo.+ Yakobo 1:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+