5 Au je, inaonekana kwenu kwamba andiko linasema hivi bila kusudi lolote: “Roho+ ambayo imefanya makao ndani yetu hutamani kuwa na mwelekeo wa kuona wivu”?
16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+