Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Vitu vyenye thamani na utajiri vimo nyumbani mwake;+

      ו [Waw]

      Nao uadilifu wake unasimama milele.+

  • Methali 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika nyumba ya mwadilifu mna akiba nyingi,+ lakini katika mazao ya mwovu mna taabu.+

  • Mhubiri 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pia kila mwanadamu ambaye Mungu amempa utajiri na mali,+ amempa hata na uwezo wa kula katika hizo+ na kuchukua fungu lake na kushangilia katika kazi yake ngumu.+ Hiyo ndiyo zawadi ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki