1 Wafalme 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia. Ayubu 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja. Methali 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika nyumba ya mwadilifu mna akiba nyingi,+ lakini katika mazao ya mwovu mna taabu.+
23 Basi Mfalme Sulemani alikuwa mkuu katika utajiri+ na hekima+ kuliko wafalme wengine wote wa dunia.
12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja.