Zaburi 137:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+ Mhubiri 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wakati wa kulia+ na wakati wa kucheka;+ wakati wa kuomboleza+ na wakati wa kurukaruka;+
3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+