Mwanzo 39:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu hata akafanikiwa,+ akaja kusimamia nyumba ya bwana wake, yule Mmisri. 2 Samweli 23:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ingawa yeye alikuwa mashuhuri hata kuliko wale 30, hakufikia daraja la wale watatu; lakini Daudi alimweka awe kati ya walinzi wake.+ Methali 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtumishi anayeonyesha ufahamu atamtawala mwana anayetenda kwa aibu,+ na kati ya ndugu atapata sehemu ya urithi.+
2 Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu hata akafanikiwa,+ akaja kusimamia nyumba ya bwana wake, yule Mmisri.
23 Ingawa yeye alikuwa mashuhuri hata kuliko wale 30, hakufikia daraja la wale watatu; lakini Daudi alimweka awe kati ya walinzi wake.+
2 Mtumishi anayeonyesha ufahamu atamtawala mwana anayetenda kwa aibu,+ na kati ya ndugu atapata sehemu ya urithi.+