Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Jiangalie neno baya lisije likawa moyoni mwako,+ na kusema, ‘Mwaka wa saba, mwaka wa kuachilia huru, umekaribia,’+ nalo jicho lako likose ukarimu kumwelekea ndugu yako aliye maskini,+ nawe usimpe chochote, naye amlilie Yehova juu yako,+ nayo iwe dhambi kwako.+

  • Mathayo 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 lakini ikiwa jicho lako ni bovu,+ mwili wako wote utakuwa wenye giza. Ikiwa kwa kweli nuru iliyo ndani yako ni giza, jinsi lilivyo kubwa giza hilo!+

  • Mathayo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na kusema, ‘Hawa wa mwisho walifanya kazi kwa saa moja; na bado umewafanya kuwa sawa na sisi tuliofanya kazi ngumu mchana kutwa katika lile joto lenye kuchoma!’

  • Marko 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 uzinzi, kutamani,+ matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,+ jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, ukosefu wa akili.

  • 2 Petro 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Wana macho yenye kujaa uzinzi+ na yasiyoweza kuachana na dhambi,+ nao huzishawishi nafsi zisizo imara. Wana moyo uliozoezwa kutamani.+ Wao ni watoto waliolaaniwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki