Methali 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yeye anayemtendea vibaya baba yake na ambaye humfukuza mama yake+ ni mwana anayetenda kwa aibu na bila heshima.+ Marko 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini ninyi husema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho unachoweza kufaidika nacho kutoka kwangu ni korbani,+ (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu+ kwa Mungu,)” ’—
26 Yeye anayemtendea vibaya baba yake na ambaye humfukuza mama yake+ ni mwana anayetenda kwa aibu na bila heshima.+
11 Lakini ninyi husema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho unachoweza kufaidika nacho kutoka kwangu ni korbani,+ (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu+ kwa Mungu,)” ’—