Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akasema: “Kunywa, bwana wangu.” Kisha akashusha upesi mtungi wake mkononi mwake, akamnywesha.+

  • Yoshua 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 (Lakini alikuwa amewapandisha darini,+ naye akawaficha kati ya majani ya kitani yaliyokuwa yametandikwa kwa mistari kwa ajili yake juu ya dari.)

  • 2 Wafalme 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tafadhali, acha tutengeneze chumba kidogo cha darini+ kwenye ukuta, tumwekee humo kitanda na meza na kiti na kinara cha taa;+ na itatukia kwamba kila mara anapoingia kwetu, anaweza kuingia humo.”+

  • Matendo 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki