10 Tafadhali, acha tutengeneze chumba kidogo cha darini+ kwenye ukuta, tumwekee humo kitanda na meza na kiti na kinara cha taa;+ na itatukia kwamba kila mara anapoingia kwetu, anaweza kuingia humo.”+
15 Basi yeye na watu wa nyumbani mwake walipobatizwa,+ akasema hivi kwa kusihi: “Ikiwa ninyi mmeniona kuwa mwaminifu kwa Yehova, ingieni ndani ya nyumba yangu mkae.”+ Naye akatushurutisha kwelikweli.+