2 Wafalme 9:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mwishowe Yehu akafika Yezreeli,+ na Yezebeli+ akasikia habari hizo. Naye akapaka macho yake wanja+ na kukipamba kichwa chake,+ akatazama chini kupitia dirishani.+ Esta 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 wamlete Vashti, malkia, mbele ya mfalme, akiwa na taji la kifalme, ili awaonyeshe vikundi vya watu na wakuu uzuri wake; kwa maana alikuwa mrembo.+ Methali 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Usiutamani urembo wake moyoni mwako,+ wala asikuchukue kwa macho yake yenye kung’aa,+ 1 Petro 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+
30 Mwishowe Yehu akafika Yezreeli,+ na Yezebeli+ akasikia habari hizo. Naye akapaka macho yake wanja+ na kukipamba kichwa chake,+ akatazama chini kupitia dirishani.+
11 wamlete Vashti, malkia, mbele ya mfalme, akiwa na taji la kifalme, ili awaonyeshe vikundi vya watu na wakuu uzuri wake; kwa maana alikuwa mrembo.+
24 Kwa maana “wanadamu wote ni kama majani,+ na utukufu wao wote ni kama ua la majani; majani hukauka, na ua huanguka,+