Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 24:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Nao wakaanza kumbariki Rebeka na kumwambia: “Ewe dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi, na uzao wako na umiliki lango la wale wanaouchukia.”+

  • Waamuzi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wakaaji katika nchi iliyo wazi wakakoma, wakakoma katika Israeli,+

      Mpaka mimi, Debora,+ niliposimama,

      Mpaka niliposimama kama mama katika Israeli.+

  • Waroma 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+

  • 1 Petro 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 bali kuwe yule mtu wa siri+ wa moyoni katika vazi lisiloharibika+ la roho ya utulivu na ya upole,+ ambayo ni ya thamani kubwa machoni pa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki