Mwanzo 24:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Nao wakaanza kumbariki Rebeka na kumwambia: “Ewe dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi, na uzao wako na umiliki lango la wale wanaouchukia.”+ Waamuzi 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakaaji katika nchi iliyo wazi wakakoma, wakakoma katika Israeli,+Mpaka mimi, Debora,+ niliposimama,Mpaka niliposimama kama mama katika Israeli.+ Waroma 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+ 1 Petro 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 bali kuwe yule mtu wa siri+ wa moyoni katika vazi lisiloharibika+ la roho ya utulivu na ya upole,+ ambayo ni ya thamani kubwa machoni pa Mungu.
60 Nao wakaanza kumbariki Rebeka na kumwambia: “Ewe dada yetu, na uwe maelfu mara elfu kumi, na uzao wako na umiliki lango la wale wanaouchukia.”+
7 Wakaaji katika nchi iliyo wazi wakakoma, wakakoma katika Israeli,+Mpaka mimi, Debora,+ niliposimama,Mpaka niliposimama kama mama katika Israeli.+
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+
4 bali kuwe yule mtu wa siri+ wa moyoni katika vazi lisiloharibika+ la roho ya utulivu na ya upole,+ ambayo ni ya thamani kubwa machoni pa Mungu.