Methali 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 mwanangu, usiende njiani pamoja nao.+ Zuia mguu wako usiende katika barabara yao.+ Methali 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+
32 Kwa maana mtu mwenye hila+ ni chukizo kwa Yehova,+ lakini urafiki Wake uko pamoja na watu wanyoofu.+