Mwanzo 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+ Ufunuo 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+
12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+
20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+