Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Sikuketi na watu wasiosema kweli;+

      Wala siingii pamoja na wale wanaoficha jinsi walivyo.+

  • Matendo 2:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na kwa maneno mengine mengi akatoa ushahidi kamili na kuendelea kuwahimiza, akisema: “Okoleweni kutoka katika kizazi hiki kilicho kombo.”+

  • 2 Wakorintho 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “ ‘Kwa hiyo tokeni katikati yao, na mjitenge,’ asema Yehova, ‘na mwache kugusa kitu kilicho najisi’ ”;+ “ ‘nami nitawakaribisha ndani.’ ”+

  • Ufunuo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki