Kumbukumbu la Torati 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+ Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+ Wagalatia 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu+ ili atukomboe kutoka katika mfumo mwovu wa mambo+ wa sasa, kulingana na mapenzi+ ya Mungu na Baba yetu, Wafilipi 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+
5 Wametenda kwa uharibifu;+Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+
8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+
4 Alijitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu+ ili atukomboe kutoka katika mfumo mwovu wa mambo+ wa sasa, kulingana na mapenzi+ ya Mungu na Baba yetu,
15 ili mje kuwa bila lawama na wasio na hatia,+ watoto+ wa Mungu wasio na dosari katikati ya kizazi kilicho kombo na kilichopotoka,+ ambao kati yao mnaangaza kama mianga katika ulimwengu,+