Methali 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kusudi ni kwamba upate kutembea katika njia ya watu wema+ na kwamba upate kushika mapito ya waadilifu.+ 2 Timotheo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu, Waebrania 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+
20 Kusudi ni kwamba upate kutembea katika njia ya watu wema+ na kwamba upate kushika mapito ya waadilifu.+
16 Andiko lote limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia,+ kwa kunyoosha mambo,+ kwa kutia nidhamu+ katika uadilifu,
7 Ninyi mnavumilia kwa ajili ya nidhamu.+ Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye baba hamtii nidhamu?+