Zaburi 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Utimilifu na unyoofu na zinilinde,+Kwa maana nimekutumainia wewe.+ Zaburi 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+ Methali 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu humlinda mtu asiye na lawama katika njia yake,+ lakini uovu humpindua mtenda-dhambi.+
26 Unihukumu,+ Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu,+Nami nimemtumaini Yehova, nisipate kutikisika.+