Methali 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana anayenipata hakika atapata uzima,+ naye hupata nia njema kutoka kwa Yehova.+ Methali 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+ Luka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+
2 Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa Yehova,+ lakini yeye humtangaza mtu mwenye mawazo maovu kuwa mwovu.+
14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+