Esta 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wana kumi+ wa Hamani+ mwana wa Hamedatha, yule aliyewaonyesha Wayahudi uadui,+ wakawaua hao; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara.+ Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+ Methali 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nyumba ya watu waovu itaharibiwa,+ lakini hema la wanyoofu litasitawi.+
10 wana kumi+ wa Hamani+ mwana wa Hamedatha, yule aliyewaonyesha Wayahudi uadui,+ wakawaua hao; lakini hawakunyoosha mkono wao juu ya nyara.+
10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+