13 Nalo litatumika kama agano la ukuhani mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yake na uzao wake baada yake,+ kwa kuwa hakuvumilia ushindani wowote kumwelekea Mungu+ wake naye alifanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli.’”+
16 Na nyumba yako na ufalme wako hakika zitakuwa imara mpaka wakati usio na kipimo mbele yako; nacho kiti chako cha ufalme kitafanywa imara mpaka wakati usio na kipimo.”’”+