Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Unichunguze, Ee Yehova, na kunijaribu;+

      Usafishe figo zangu na moyo wangu.+

  • Zaburi 66:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+

      Umetusafisha kama kusafisha fedha.+

  • Methali 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+

  • Methali 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+

  • Isaya 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki