Zaburi 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unichunguze, Ee Yehova, na kunijaribu;+Usafishe figo zangu na moyo wangu.+ Zaburi 66:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana umetuchunguza, Ee Mungu;+Umetusafisha kama kusafisha fedha.+ Methali 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kila njia ya mwanadamu imenyooka machoni pake mwenyewe,+ lakini Yehova anaipima mioyo.+ Methali 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+ Isaya 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+
12 Ikiwa utasema: “Tazama! Hatukujua hili,”+ je, yule anayeipima mioyo hatatambua hilo,+ na yule anayeichunguza nafsi yako mwenyewe hatajua+ hilo naye hakika hatamlipa mtu wa udongo kulingana na utendaji wake?+
10 Tazama! Nimekusafisha, lakini si kwa namna ya fedha.+ Nimekuchagua katika tanuru ya kuyeyushia ya mateso.+