Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akamwambia: “Je, moyo wangu haukukufuata wakati yule mtu alipogeuka na kushuka kutoka katika gari lake ili kukupokea? Je, ni wakati wa kupokea fedha au kupokea mavazi au mashamba ya mizeituni au ya mizabibu au kondoo au ng’ombe au watumishi wa kiume na wajakazi?+

  • Methali 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+

  • Mhubiri 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mimi mwenyewe nimesema moyoni mwangu:+ “Mungu wa kweli atahukumu mwadilifu na mwovu+ pia, kwa maana hapo kuna wakati wa kila jambo na kuhusu kila kazi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki