Hesabu 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Lipiza kisasi+ kwa ajili ya wana wa Israeli juu ya Wamidiani.+ Baadaye utakusanywa kwa watu wako.”+ Yeremia 48:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Alaaniwe yule mtu anayetimiza utume wa Yehova kwa uzembe;+ na alaaniwe yule mtu anayeuzuilia upanga wake usimwage damu! Ezekieli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+
2 “Lipiza kisasi+ kwa ajili ya wana wa Israeli juu ya Wamidiani.+ Baadaye utakusanywa kwa watu wako.”+
10 “Alaaniwe yule mtu anayetimiza utume wa Yehova kwa uzembe;+ na alaaniwe yule mtu anayeuzuilia upanga wake usimwage damu!
6 Mzee, kijana na bikira na mtoto mdogo na wanawake+ mtawaua kabisa—mtawaharibu. Lakini mtu yeyote ambaye ana ile alama msimkaribie,+ nanyi mnapaswa kuanzia patakatifu pangu.”+ Kwa hiyo wakaanza na wale wanaume wazee waliokuwa mbele ya nyumba.+